AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,102
Asha, kuchonganisha nayo ni person? Uwage unasoma kwa ukamilifu basi.
hahaha.... Hapo ndio mtu wajuta kukurupuka (in this case AshaDii); I was so set on Mchonganishi....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asha, kuchonganisha nayo ni person? Uwage unasoma kwa ukamilifu basi.
Wote hamwezi nishika pabaya, how?
Kuniandika kuwa mimi ni mchagga na steriotypes?
Hamna mtu wa kunitisha mtandaoni.
Mtu wa vitisho mtandaoni ana matatizo ya low self esteem na insecurities.
Beyond anonymity mtu anaespew hii diarrea ndo unaitwa kushikwa pabaya?
hahaha.... Hapo ndio mtu wajuta kukurupuka (in this case AshaDii); I was so set on Mchonganishi....
Hmmm...basi utakuwa mchonganishi wewe. Ngoja nimtafute yule kiboko yako....lol.
enheeeeee...thank you.... ndio maana nilisema nimekuoana ona hapa unaandika andiki viji ingereza ingereza nikajua wewe utanielewa... !!Hodgepodge of a potpourri ni marudio tu kwa sababu maneno yote mawili yana maana moja.
Kuna watu wanazungumza frenchi,englis,italian,arabic na spanisha all together fluently, halafu watu wenye akili fupi wamechukulia kidengereko as if wanajuwa kuwa huyo Kiranga ni Mdengereko, shida ni kudandia terni kwa mbele na akili za vodafasta.
Hmmm...basi utakuwa mchonganishi wewe. Ngoja nimtafute yule kiboko yako....lol.
Komredi nafinywa sikio kongosho unamfaham fika.
Na wewe pia kamanda...@Jmushi
Heri ya x mas
enheeeeee...thank you.... ndio maana nilisema nimekuoana ona hapa unaandika andiki viji ingereza ingereza nikajua wewe utanielewa... !!
Sasa cheki jamani, utasemaje "Hodgepodge of a potpourri"! ??
enheeeeee...thank you.... ndio maana nilisema nimekuoana ona hapa unaandika andiki viji ingereza ingereza nikajua wewe utanielewa... !!
Sasa cheki jamani, utasemaje "Hodgepodge of a potpourri"! ??
Ofcourse umeichukulia literally as i did, na hayo ya Spanish, English, Arabic, Italian umeyachukuliaje?Jmushi1, why do you take things so literally? Mimi hiyo ya Mdengereko niliichukulia kama mfano tu. Kaazi kweli kweli.
Komredi mwache bi kizee huyo unakomaa kama kiranga akimkuta yule mbunge wa CDM.
enheeeeee...thank you.... ndio maana nilisema nimekuoana ona hapa unaandika andiki viji ingereza ingereza nikajua wewe utanielewa... !!
Sasa cheki jamani, utasemaje "Hodgepodge of a potpourri"! ??
Kwa hiyo kumbe hojipoji of potpputi sio sahihi
/ˈhɑ:ʤˌpɑ:ʤ/ noun
/ˌpoʊpʊˈri:/ noun