Ndoa tulishafunga kitambo, hivi sikukualika?..Jina ninalojivunia kukutana nalo ni la Yesu,,hilo la mchumbako hata mc atapata shida kulitaja siku mkifunga ndoa.
xxxxxxxl!!!! hii size haipogo
Mshindi hawezi kupatikana na hata mwenye thread haonekani....kulala tutalala ila sijui nani ataibuka mshindi
Jamani wee binti sendeu umezikataje? Punguza kwenda nyumba za wenyewe utasutwa....lolYale masendeu yamekatika jana, ntavaa yebo yebo.
xxxxxxxl!!!! hii size haipogo
yebo yebo nazijua ila siyajui masendeuYale masendeu yamekatika jana, ntavaa yebo yebo.
Enheee kumbe unakumbuka tulivyopiga debe eeh?Ndoa tulishafunga kitambo, hivi sikukualika?..
Afu huyo anaechungulia kwa dirishani mwambie aingie ndani atusalimu manake tulimpigia sana debe siku ile.
Kujibu mi ndo mwenyewe....hivi hukuona ile hukumu yangu kule jukwaa la malalamiko?Lol, una kesi ya kujibu.
yebo yebo nazijua ila siyajui masendeu
Haipogo kabisa au we umeiona wapi?haipogo?
Ndoa tulishafunga kitambo, hivi sikukualika?..
Afu huyo anaechungulia kwa dirishani mwambie aingie ndani atusalimu manake tulimpigia sana debe siku ile.
Haipogo kabisa au we umeiona wapi?
Unashangaa lugha?
Yale masendeu yamekatika jana, ntavaa yebo yebo.
Nguo za mumeo za kijani ushazichoma moto?Haipo redimedi waweza pata ya kushonesha kwa fundi nguo!
masendeu ni makandambili ya Louis Sendeu!
Suuuuuu.lugha chafu wakati mwingine husaidia,mfano kuimaliza hii thread nasubiri usiku wa manane wote mmelala namalizia kwa kuandika bonge la tusi watu wote mtaogopa kurudia kuepuka ban!semeni suuuu!
yebo yebo hakikisha zinarangi inayoendana na shughuli
Enheee kumbe unakumbuka tulivyopiga debe eeh?
Queen anatubania saa hizi, daah sio fea kabisa
Hahahaha! Ila jf ina wapambe lol..Enheee kumbe unakumbuka tulivyopiga debe eeh?
Queen anatubania saa hizi, daah sio fea kabisa
Suuuumbuka ule ban ya usiku...lugha chafu wakati mwingine husaidia,mfano kuimaliza hii thread nasubiri usiku wa manane wote mmelala namalizia kwa kuandika bonge la tusi watu wote mtaogopa kurudia kuepuka ban!semeni suuuu!