JamiiForums game of the year

aah nisiamini vipi sasa wakati mifano ipo kibao, hata hilo la kwako si lilianza hivyo hivyo limeota mizizi na kukomaa mpaka umelikubali siku hizi unaitika tu ..

tunaomba masharti na vigezo ya huu mchezo yazingatiwe ili mshindi apatikane ki halali.
 
Ki halali wewe Ruttashobolwa utakuwa mshindi kwa kuwa wewe umekubuhu kwenye fani ya sheria
hapa jamvini hakuna zaidi yako.

tunaomba masharti na vigezo ya huu mchezo yazingatiwe ili mshindi apatikane ki halali.
 
Ki halali wewe Ruttashobolwa utakuwa mshindi kwa kuwa wewe umekubuhu kwenye fani ya sheria
hapa jamvini hakuna zaidi yako.

Hakuna zaidi yako Mamndenyi. Kumbe hata huku upo pia? hahahaha. Umemuona rafiki yako AshaDii karudi?
 
madini mgodini ndo asili yake na kwenye segment hii tayar uko mgodin ukishaanza kusoma hapa bac haina haja kumtafuta bingwa. Adiooos.!
 
madini mgodini ndo asili yake na kwenye segment hii tayar uko mgodin ukishaanza kusoma hapa bac haina haja kumtafuta bingwa. Adiooos.!


adioooss...amigo..! Ivi lugha gani hyo?
 
Karatu nilipapenda sana wakati nasoma pale udongo ulikuwa na rutuba sana
nakumbuka tulikuwa tunalima bustani na tulikuwa na mashamba makuba sana ya ngano na mahindi,
utaweza kusema siyo tanzania ya leo.

Madale?
Kule kwenye vumbi jekundu kama tuko Karatu?
 
Karatu nilipapenda sana wakati nasoma pale udongo ulikuwa na rutuba sana
nakumbuka tulikuwa tunalima bustani na tulikuwa na mashamba makuba sana ya ngano na mahindi,
utaweza kusema siyo tanzania ya leo.

Leo hii ukipita Karatu,
ni kama sijui wapi,
watu wamejenga sana ila kule Gulioni bado bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…