Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
aah nisiamini vipi sasa wakati mifano ipo kibao, hata hilo la kwako si lilianza hivyo hivyo limeota mizizi na kukomaa mpaka umelikubali siku hizi unaitika tu ..
tunaomba masharti na vigezo ya huu mchezo yazingatiwe ili mshindi apatikane ki halali.