James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Hongereni bwana si wengine tupo km hatupo no PM no President wala makamu mwenyekiti BaraTusichukuliane poa bro
Hahaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni bwana si wengine tupo km hatupo no PM no President wala makamu mwenyekiti BaraTusichukuliane poa bro
Umewaona wapi mkuuMnavutia,mnajua kuvaa, shape mnazo na hakuna mwenye komwe!.
Mmebarikiwa mno!, mna mioyo mizuri kiufupi mmetaradadi!.
Nawapenda sana wadada wa jamiiforum mbarikiwe maradufu.
Enjoy
View attachment 3195978
Mwambie huyo mnyatuzu maana bado hawajui vidume wajifanyao wanawake ili wapige hela za wajinga 🤣Mkuu kuwa makini humu Kuna madume yanajifanya wanawake example ni kariakoo finest muongeza zero kuwa makini sana yaani sana
Sio kweli mkuu kuna pisi zipo humu asikwambie mtu mzaziMwambie huyo mnyatuzu maana bado hawajui vidume wajifanyao wanawake ili wapige hela za wajinga 🤣
Huko huko unakotaka kuomba haiombwi hivoooo😹mh! unajishitukia huombwi wewe!
Tumetofautiana passion, mi huwa naona wengine makomwe yanawabeba vibaya mno!sio tu kupoteza linaua kabisa!
Bahati wapi tunaishia kula kwa macho tuu mwanawaneDuh watu mna bahati 😤😤😤
Mbona mie mtu wakuaminika kabisaNa wewe kweli umemuamini mzabzab ?
Nsamehe broeve usinifanyie vurugu..
mnaharibu sasaJAMIIFORUMS wadada wazuri wapo kweli sababu nimeonana nao na ninaendelea kuonana/kukutana nao
Yaani we acha tuu mwenzako kila siku nakuwazia na nakuonea huruma sana wewe vile mimi na Niffer hatuolewi ila kila siku tunatumia nyeti zako imagine vile unapata shida....pole sana dogoQwewe na nifah humu ndio mabaya tuu
Sura kama shetani.
ndiomana hamuolewi masingo mama nyie