Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Ulivyo muuliza BRAZA CHOGO jinsia gani.....Mwanangu sio Poa mnastahili kunyongwa
Nipo kanisan hapa st Joseph nimekuta nacheka aseeh 😂 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivyo muuliza BRAZA CHOGO jinsia gani.....Mwanangu sio Poa mnastahili kunyongwa
Sijaona sehemu ukisema Wana akili sanaa, ila wewe umeangalia makomwe na shepu tu. Kizazi Cha ajabu kbsaa😀jamiiforums
Sasa ulikua unasikia raha kuunga kwamba una kibumbu mkuu🥶
Unaniabisha Omukaya 🤔
Mchizi Huyu anatest temper wakaya mwanawane atena masala gheteUnaniabisha Omukaya 🤔
😊😊😊Sidhani....🐒
Hahahaha uvivu wa kuvaa boxer..... Huyo ni demuS ndo nawaza uvivu wa kuvaa boksa tu unapoteza vijana wengi
😀Tunasafari ndefu ya kufikia mafanikio ya utu.leo nasifia uzuri wa mwili na tabia tu akili siku nyengine..😃
Si Bado Kuna fikra za watu wanamtazama mwanamke kama chombo Cha starehe pekee. Ukishaanza na uzuri ndo Yale Yale.kwanini shanily..?
Sawa mke wangu, ulale unono 😍Nishagundua wewe kichwani una mavi. siku jibu tena
Ulale unonoHahahaha uvivu wa kuvaa boxer..... Huyo ni demu
not that way!, Mwanamke anavitu vingi so kuamua kuchagua mada moja kwenye hivyo vingi haina maana ni chombo cha starehe!.Si Bado Kuna fikra za watu wanamtazama mwanamke kama chombo Cha starehe pekee. Ukishaanza na uzuri ndo Yale Yale.