BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
Kafupi kama KARUNGUYEYERangi sawa, Urefu ni uongo. Mi kafupi fupi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafupi kama KARUNGUYEYERangi sawa, Urefu ni uongo. Mi kafupi fupi.
Ahaa sawanot that way!, Mwanamke anavitu vingi so kuamua kuchagua mada moja kwenye hivyo vingi haina maana ni chombo cha starehe!.
Nimesifia wadada wa jf ukute na ndugu zangu pia wapo hivyo nao nawaona kama chombo cha starehe..?!
Sauti ya kiume kabisa hiiTwen'zetu tukamuue Barcelona
Wadada wazuri hawakusaidii kitu kwenye kulipa kodi 😃
😀😀Hakika japo kuna Pisi moja humu mtandaoni ilikuwa inaji brand nikajua duh hii ni level za Mobetto siku ya kuona a nayo aisee nikasema siiamini tena mitandao
Kwahyo ulishakuwa wakike 😂Dah hiyo nayo ni kazi sana 🤣🤣🤣
Nakumbuka hata Mimi kuna kipindi nilikuwa na I'd ya kike nilikuwa nawaendesha sana aisee but at that nilikuwa 25 but today 35+ siwezi kuwa na ujinga kama ule
😀Asante japo nimechukua sura ya baba
Kigoda!Kafupi kama KARUNGUYEYE
Alafu maclass mate 😂Minikajua humu ndani ni wanaume tupu mkuu...🤔
Slow down na shemeji yanguhiyo rangi + urefu ndo ugonjwa wangu😃😊.
Hahaha kwanini magogoni??, kisa jumba jeupe??.
dah ko hata mwajuma uti hayumo😂Minikajua humu ndani ni wanaume tupu mkuu...🤔
Wewe nusu albino a.k.a kubwa la manusu ni mkorofi, maana binti kiziwi ni shangazi yanguSlow down na shemeji yangu
Kama ni shangazi yako basi msamilie sana.Wewe nusu albino a.k.a kubwa la manusu ni mkorofi, maana binti kiziwi ni shangazi yangu
ana kaa kenyaLips 👄
Eeh dume tena jamani mbona balaa hiiWee tabasamu langu umeliona wapi mm ukute ni dume mnaniita bint 😄😄😄