Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hivi wewe hukuwa ukibadili majina mara kwa mara?
hehehe ngabu siwezi kukutolea povu buanahSasa povu tena?
Unaposahihishwa, shukuru.
Usikumbatie ujinga.
Sikumbuki kutuma maombi ila nilibadili user name once around 2010, mpaka leo ninatumia hii hii.Nilianza na hili la NN....baadaye nikaja kubadili kuendana na baadhi ya matukio kadha wa kadha ya kidunia na kadhalika.
Na mara zote hizo nilikuwa natuma maombi yangu ya kwa Farida au Mubyazi [Maxence].
Ubaki na nan we bora nife mapema tu ubakie mwenyeweNdio nilishindwa kushangaa!! Yaani wewe hata tubaki wawili tu duniani nitajificha mwenyewe.
Huhuhuuuuuuu!!!Hio ilikuwa zamani...sasa hivi big NO!
ha ha ha ha ha hata mim naona mweupe kama thelujiWakati mimi sina dhambi kabisa!!!
hehehe ngabu siwezi kukutolea povu buanah
me niliandika kiutani tu....
najua kwenye formal context nisingeacha hiyo "the".
Basi sawa chief. tujenge taifa
Na utakufa soon ujue!!!Ubaki na nan we bora nife mapema tu ubakie mwenyewe
Yaaani mweupe peeeeeeee!ha ha ha ha ha hata mim naona mweupe kama theluji
Sikumbuki kutuma maombi ila nilibadili user name once around 2010, mpaka leo ninatumia hii hii.
Hapana.Umewahi kuwa kiranja [mod] labda?
Manake uwezo huo walikuwa nao viranja na watawala tu, basi.
Hahahahaha
Sio mbaya ujueNa utakufa soon ujue!!!
siwezi kabisa ..huo ndio udhaifu wangu. niombeeHivi unaweza kuandika kwa Kiswahili tu bila kuchanganya na Kiingereza?
siwezi kabisa ..huo ndio udhaifu wangu. nitombe