Jamiiforums member's party

Hahaha nasikia humu wengi ni zilipendwa sasa si tutakutana na wazee humu una baki unashangaaa heee hichi kibabu cha wapi
 
Nimekuelewa. Ila ni heri uendelee kujibanza kwa mama Sabrina kuliko kuwavurugia kina Mahondaw na Smart wake
 
Hahaha nasikia humu wengi ni zilipendwa sasa si tutakutana na wazee humu una baki unashangaaa heee hichi kibabu cha wapi
Mbona jana umekimbia PM au umeshaifunga?
 
Party Nyingine tena ya Jf? i hope watu hamtakimbia tena ila ndio pa kupatiana uchumba wa kweli humo.. sio ma pen pal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…