D
Utasikia"sikujua kama jf kuna vimbaumbau namna hii..mara aiseee jf kuna mabonge "Mara "sijaona mwanamke mzuri hata mmoja jf kwenye jf party"
Tegemea nyuzi nyingi sana,mbona zamani ndio ilikuwa hivyo
Usikose sasa kuwepoHapo sawa. Thanx
Party yetu itakua ya kuonana me u n demiss[emoji23] nyie wekeni tu party bby wangu atakuja kuniwakilisha
Tatizo la mahondaw huwa ananipenda sana ila sina pesa ndo maana anajibanza kwa Smart911 . Nami najiweka kwa Mama Sabrina ingawa pesa ya matumizi tunaipata kwa G wake (huwezi kuwa na wivu bila ngawira) sasa mwana CDM atanifaziri niongozane na kipenzi siku hiyo! Upo hapo la Azizi love b ?Mahondaw umemsikia narumuk huku??
Uende uko wakuoneTukionana sura zetu tayar tutakuwa tumeshajuana majina yetu halis kitu ambacho watu wengi wanaogopa kuhalibiwa cv zao
Nimekuelewa. Ila ni heri uendelee kujibanza kwa mama Sabrina kuliko kuwavurugia kina Mahondaw na Smart wakeTatizo la mahondaw huwa ananipenda sana ila sina pesa ndo maana anajibanza kwa Smart911 . Nami najiweka kwa Mama Sabrina ingawa pesa ya matumizi tunaipata kwa G wake (huwezi kuwa na wivu bila ngawira) sasa mwana CDM atanifaziri niongozane na kipenzi siku hiyo! Upo hapo la Azizi love b ?
Mbona jana umekimbia PM au umeshaifunga?Hahaha nasikia humu wengi ni zilipendwa sasa si tutakutana na wazee humu una baki unashangaaa heee hichi kibabu cha wapi
Tatizo la mahondaw huwa ananipenda sana ila sina pesa ndo maana anajibanza kwa Smart911 . Nami najiweka kwa Mama Sabrina ingawa pesa ya matumizi tunaipata kwa G wake (huwezi kuwa na wivu bila ngawira) sasa mwana CDM atanifaziri niongozane na kipenzi siku hiyo! Upo hapo la Azizi love b ?
Sasa nani atakukula siku hiyo! Mimi mahondaw akija na Smart911 wake namuwekea nganda katika kinywaji chake azime niondoke na kimwana. Aidha siku hiyo Mama Sabrina nakufungia chumbani kwako
Kama ni hivyo sawa hahaha habari ya kwenda kukutana tuanze kuchunguzana,mara heee!uliona lile tege la jolie kama praiziParty yetu itakua ya kuonana me u n demiss
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kifala..sio kwa praizi hiyoKama ni hivyo sawa hahaha habari ya kwenda kukutana tuanze kuchunguzana,mara heee!uliona lile tege la jolie kama praizi View attachment 774147
Hahaa...shkamoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ni hivyo sawa hahaha habari ya kwenda kukutana tuanze kuchunguzana,mara heee!uliona lile tege la jolie kama praizi View attachment 774147
mambo ya multiple ID mkuu.....hua wanajisahau muda mwingine[emoji23] [emoji23]Wewe ndiye mleta mada ? Duuu lugha gongana hii mnaoenda huko chondechonde
Umeharibu kutaja baadhi coz member wengine watadhani hawana umuhimu sana kwako!Siwezi kuwataja wote mpenzi I'm sory ndio maana nimeandika to mention few but let add you over there
Na wakisema wanataka kuja kwangu itakuaje?Kuna mwana ana ki mazda hapa ukimwachia laki kiroho safi anakuachia siku nzima,,,nitakudhamini
Umeharibu kutaja baadhi coz member wengine watadhani hawana umuhimu sana kwako!
Anyway na sisi wabeba box huku tutakutana wapi? teh! teh!
Kwani wewe unajulikana?wasiojulikana nao watakuwepo?