Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Huoni kama unatubagua wengine dada? Inamaana hutaki kukutana na wengine zaidi ya hiyo circle yako tu?
Sina mke, ila ninapoishi ni tofauti na mikogo ninayoleta humuMkeo hapendi wageni wa mitandaoni[emoji23]
Najua sana ni wa kumpuuza mtu kaja jf kisa mama sabrina mi zamani nilikuwa simjui,ile kunitaja taja ndio nikawa namuona
AnakupendaaaIla wewe bila kunitaja husikii raha kabiss daah
Yaan bina ananitaja huyu kaka nadhani ananipenda mnoo mnooooooooAnakupendaaa
iihiihihihihi [emoji1] [emoji1][emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Kama ikitokea siku hiyo nitajibandika sticker yenye ID yangu Smart911 na mahondaw atabandika yenye ID yake...
Yoyote atakayekuja kwenye, iwe meza au sehemu yetu hakuna kuongeleshana... vuta kiti kula, kunywa ukitosheka sepa...
Maswali peleka kwa spika...
Kujuana peleka vizazi na vifo (Rita)
Cc: mahondaw
Itakuwa nzuri balaa pale tukikutana Mimi ,wewe mahondaw,smart na hearlyiihiihihihihi [emoji1] [emoji1][emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Walahi Itakua patashika smart wangu Yaniiiiiiiiii sipati pichaaaa
Hahaa tutaona ile tofauti ya online profile na real face [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama ikitokea siku hiyo nitajibandika sticker yenye ID yangu Smart911 na mahondaw atabandika yenye ID yake...
Yoyote atakayekuja kwenye, iwe meza au sehemu yetu hakuna kuongeleshana... vuta kiti kula, kunywa ukitosheka sepa...
Maswali peleka kwa spika...
Kujuana peleka vizazi na vifo (Rita)
Cc: mahondaw
Hahahaaa. Lol.Me nikijumuika na
Hajar
Mzigua
Mshana Jr
Demiss
Nadhan party ya watu watano itapendeza zaid.
Hahahahaha... Usitake watu tukimbiane tehteh...[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Wengine Make ups zinatubeba lolHahaa tutaona ile tofauti ya online profile na real face [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa. Hadi nimeona aibu mdogo wangu. [emoji85] .Huoni kama unatubagua wengine dada? Inamaana hutaki kukutana na wengine zaidi ya hiyo circle yako tu?
Mmh. Mdogo wangu.Jamii Forum ya sasa watu wanaogopa kukutana sio sababu ya watu wasiojulikana la hasha ni vile mikogo na majivuno wanayoyatoa kwenye comments lakini kiuhalisia ni masikitiko.
Mtu unayejiamini huwezi kuogopa kukutana na watu ambao mpo mnapiga story humu mbaya zaidi mpo Nchi moja na pengine mji mmoja.
"Ni mtazamo wangu lakini, no Hard feelings"
LoL.