Jamiiforums member's party

Jamiiforums member's party

Hahaaa. Ilishawezekana tukakutana watu wanne kwa wakati mmoja naona inatosha ila rundo la watu. Hapana aiseee.

Sababu jf ya sasa sio ile ya zamani na hilo linajulikana.

Davet, ukhuty na Mwifwa wanatosha kwa upande wangu sababu tukikutana kwetu huwa ni zaidi ya Party.
Huoni kama unatubagua wengine dada? Inamaana hutaki kukutana na wengine zaidi ya hiyo circle yako tu?
 
Kama ikitokea siku hiyo nitajibandika sticker yenye ID yangu Smart911 na mahondaw atabandika yenye ID yake...

Yoyote atakayekuja kwenye, iwe meza au sehemu yetu hakuna kuongeleshana... vuta kiti kula, kunywa ukitosheka sepa...

Maswali peleka kwa spika...
Kujuana peleka vizazi na vifo (Rita)

Cc: mahondaw
 
Kama ikitokea siku hiyo nitajibandika sticker yenye ID yangu Smart911 na mahondaw atabandika yenye ID yake...

Yoyote atakayekuja kwenye, iwe meza au sehemu yetu hakuna kuongeleshana... vuta kiti kula, kunywa ukitosheka sepa...

Maswali peleka kwa spika...
Kujuana peleka vizazi na vifo (Rita)

Cc: mahondaw
iihiihihihihi [emoji1] [emoji1][emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Walahi Itakua patashika smart wangu Yaniiiiiiiiii sipati pichaaaa
 
Jamii Forum ya sasa watu wanaogopa kukutana sio sababu ya watu wasiojulikana la hasha ni vile mikogo na majivuno wanayoyatoa kwenye comments lakini kiuhalisia ni masikitiko.

Mtu unayejiamini huwezi kuogopa kukutana na watu ambao mpo mnapiga story humu mbaya zaidi mpo Nchi moja na pengine mji mmoja.

"Ni mtazamo wangu lakini, no Hard feelings"
LoL.
 
iihiihihihihi [emoji1] [emoji1][emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Walahi Itakua patashika smart wangu Yaniiiiiiiiii sipati pichaaaa
Itakuwa nzuri balaa pale tukikutana Mimi ,wewe mahondaw,smart na hearly
Cc hearly
 
Mkuu hzo idiii zote ulizoandika kuna multiple id's kama tano hv, so mtakutana kama watatu hv
 
Kama ikitokea siku hiyo nitajibandika sticker yenye ID yangu Smart911 na mahondaw atabandika yenye ID yake...

Yoyote atakayekuja kwenye, iwe meza au sehemu yetu hakuna kuongeleshana... vuta kiti kula, kunywa ukitosheka sepa...

Maswali peleka kwa spika...
Kujuana peleka vizazi na vifo (Rita)

Cc: mahondaw
Hahaa tutaona ile tofauti ya online profile na real face [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaa tutaona ile tofauti ya online profile na real face [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha... Usitake watu tukimbiane tehteh...[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Wengine Make ups zinatubeba lol


Cc Smart911
 
Jamii Forum ya sasa watu wanaogopa kukutana sio sababu ya watu wasiojulikana la hasha ni vile mikogo na majivuno wanayoyatoa kwenye comments lakini kiuhalisia ni masikitiko.

Mtu unayejiamini huwezi kuogopa kukutana na watu ambao mpo mnapiga story humu mbaya zaidi mpo Nchi moja na pengine mji mmoja.

"Ni mtazamo wangu lakini, no Hard feelings"
LoL.
Mmh. Mdogo wangu.

Haya ni zadi ya makavu ujue. Teh teh.
 
Back
Top Bottom