Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kwani una ugomvi gani na sisi maharamia??? 🙄
Jana UMUGHAKA amewalalamikia Maxence Melo kwa uonezi na amedai kuachana na jamiiforums kwa sababu nyuzi zake zinafutwafutwa na kabla uzi ule haujamaliza dakika kadhaa nao ukafutwa. Ngoja tuoneNinachofahamu kazi zote zinazotumwa na wanachama hapa jamvini ni mali ya JamiiForums.
Kijana wa Kikurya UMUGHAKA ameonyesha kipaji na kipawa cha hali ya juu kwenye uandishi wa riwaya. Lakini hizi kazi zake zinalindwaje dhidi ya maharamia?
UMUGHAKA aelekezwe BASATA na umuhimu wa kusajili kazi zake. Huu ni utajiri mkubwa, hizi hadithi ni tamu mno, zikiingia mikononi mwa maharamia wa kazi za sanaa UMUGHAKA hatopata hata shilingi.
Wanasheria wa hapa jamvini kina Pascal Mayalla hebu msaidieni dogo hata kwa elimu tu
Ataachana na jamiiforum aende wapi huyu best ake Chizi MaarifaJana UMUGHAKA amewalalamikia Maxence Melo kwa uonezi na amedai kuachana na jamiiforums kwa sababu nyuzi zake zinafutwafutwa na kabla uzi ule haujamaliza dakika kadhaa nao ukafutwa. Ngoja tuone