Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale vijana ni hatari sana walitakiwa kutopewa dhamana.....!
Nami nalaani binafsi simu yangu ilifanyiwa udukuzi nakuibiwa baadhi ya nyaraka zangu pia kuharibu picha nyingi nilizokuwa nazo hasa nakala za matokeo..Mungu atawaona.
Mbona mnakuwa na hofu ya kumtaja aliyewashambulia wakati anajulikana na aliyemtuma pia?
Nadhani kukamatwa kwa vijana wa IT, kuvamia ofisi za LHRC na JF kuwa hacked vina uhusiano kukiwa na lengo la kuzuia jamii kupata taarifa huru kinyume na zile za NEC.
Kwa upande mwingine sioni kwa nini niwape pole maana mlionekana mko upande wa team 'nchi haitolewi kwa karatasi' ndio mjitambue sasa.
Wale vijana ni hatari sana walitakiwa kutopewa dhamana.....!
Nadhani kukamatwa kwa vijana wa IT, kuvamia ofisi za LHRC na JF kuwa hacked vina uhusiano kukiwa na lengo la kuzuia jamii kupata taarifa huru kinyume na zile za NEC.
Kwa upande mwingine sioni kwa nini niwape pole maana mlionekana mko upande wa team 'nchi haitolewi kwa karatasi' ndio mjitambue sasa.
I salute you, these Guys gotta lot 2 learn from Russia Today MODERATORS.