Acha kuturudisha nyuma sisi tunapiga speed ya maendeleo.sio majungu,unauhakika gan.kama walihack na.kama una uhakika huo si fata taratibu establish grounds zako nenda,unataka kuleta issue za uchaguz ambazo zimepita hayo ni.mawazo mgando,tumepata rais wa tanzania subiri siku zingine