Jamiiforums Superstar of the year 2014

Jamiiforums Superstar of the year 2014

mr gentleman

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,222
Reaction score
4,689
Ikiwa tunaelekea kuufunga mwaka, sisi kama member wa jamiiforums tunachagua celebrity aliyefanya vizuri kwa mwaka mzima na tutamkabidhi tunzo maalum.

Sasa naomba tupendekeze ni nani anafaa kupewa hadhi hiyo na sisi great thinkers kwa mchango wake kwa mwaka huu wa 2014.

Aya ni mapendekezo yangu kwa baadhi ya mastaa wanahostahili tunzo ya JF.

1. DiamonPlatnumz (kaipush bongofleva)
2. Millard Ayo (mtangazaji mchapakazi)
3. Salama Jabir (mbunifu na mwanamke jasiri)
4. Wema Sepetu ( mwigizaji mwenye mvuto)
5. Salum Kikeke (mtangazaji mwenye ushawishi)


Pendekeza jina hapa litalopendekezwa zaidi ndio kamati itamtangaza mshindi kabla hatujafunga mwaka.
 
Kwa hiyo wema amependekezwa kwa kigezo cha mvuto?Na huo mvuto wake uko wapi?
 
Kipanya, yaonyesha humjui na kazi yake pia....
 
Millard Ayo.
Afu naona Salim Kikeke kama asiwekwe hapo. Level zake za juu bana. Ni wazo langu tu
 
Ikiwa tunaelekea kuufunga mwaka, sisi kama member wa jamiiforums tunachagua celebrity aliyefanya vizuri kwa mwaka mzima na tutamkabidhi tunzo maalum.

Sasa naomba tupendekeze ni nani anafaa kupewa hadhi hiyo na sisi great thinkers kwa mchango wake kwa mwaka huu wa 2014.

Aya ni mapendekezo yangu kwa baadhi ya mastaa wanahostahili tunzo ya JF.

1. DiamonPlatnumz (kaipush bongofleva)
2. Millard Ayo (mtangazaji mchapakazi)
3. Salama Jabir (mbunifu na mwanamke jasiri)
4. Wema Sepetu ( mwigizaji mwenye mvuto)
5. Salum Kikeke (mtangazaji mwenye ushawishi)


Pendekeza jina hapa litalopendekezwa zaidi ndio kamati itamtangaza mshindi kabla hatujafunga mwaka.

Huwezi kutumia jina la JF na kamati mnazokutana bar kugenalised Members.

1. Kikao hicho mlikaa wapi?

2. Uongozi wa JF una taarifa ya wazo hili na imetoa baraka zake?

3. Ni wapi ulisikia kuna shindano halafu zawadi ikawa ni siri?

4. Ni vizuri member wangejulishwa credibility ya hiyo unayoiita kamati.

Nota bene: Angalia idadi ya JF members ili next time msitumie jina la JF kiholela kukidhi malengo yenu.

Kama wewe ni mgeni jifunze kwa Superman ndio amekuwa akiendesha mambo kama hayo kwa kushirikiana na JF Team.
 
Last edited by a moderator:
mtoe wema mweke jide mr gentleman kwa hapa jf le mutuz
maana ameweza kutoa ajira kwa watu tofauti wengine umaarufu kunuka tu
au salama jabir naona atafaa sana
au kwenye uigizaji mueke lulu au kajala wema hana kazi yoyote kwa sasa na hana mvuto huuoo anabebwa na maskendo tu
 
Wema kaigiza muvi gani mwaka huu?


Ally kiba hayupo?

Ally Kiba haitaji kick kama hizi, ametoa single moja tu nchi nzima inatetemeka wakati wale wa mtaa pili wanatafuta kila story ili kutafuta cheap popurality kama hii thread.

Sikuwa najuwa kama Zari ni kahaba tu anavyotambulika uko kwao Uganda mpaka wale wadandia nyota za wanawake walipo msportlight.
 
Back
Top Bottom