Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Neybright jana alipitiwa tu kidogo ila nadhani leo utakuwa nae vya kutosha afande.hahaha
eeh sisi si unajua twalala jicho moja kimachale machale
jana bhana Neybright kanilaza macho hakuwa kwa mood nzuri nlipo ondoka
nikashindwa kulala then nikarud siku mkuta
afande ulikuw usiku mrefu sana jana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kubwa ya nini sio wote wanapenda hayo mandingo jirani basi tu watu wamekariri
Nimeenda mwenyewe tuu hata sikuwa na mtuhahaha
amnaa nna ndugu yangu anaumwa ila leo nlipo enda kule nlikuwa sjiskii vzuri
kwa wagonjwa nlo waona nilipona mbona yaan had sasa nna nguvu.
umeenda kwa sinema na nan Ney?
Pole huyo ni jirani mwemawell
guys keep the distance olease nna moyo siyo stone jaman
Sawa sawa afande nitajitahidi kuwa mbali haswaawell
guys keep the distance olease nna moyo siyo stone jaman
Khaa mimi sipo tena mmm huyu wivu mpaka kakazake umempa nini nilikuwepo tuuu mimiSasa nyie wenyewe hamkunipa ushirikiano,
Huyo mwenzio nilimpigia hakupokea baadae akanitext sorry nipo kwa doctor nikamwambia basi nipe contact za Manga akajibu Manga hayupo usijisumbue kumtafuta, embu sema ndugu yangu ningefanya nini mimi? Mlaumu nduguyo
Embu ongea nae siunamuona hata majirani hataki tutaishi vipi jamaniKhaa mimi sipo tena mmm huyu wivu mpaka kakazake umempa nini nilikuwepo tuuu mimi
hahahaaOoh waoooh
Yaan nitakupenda kwa macho yangu yote mawili
Ngoja nitafute namna ya kuzipata
good night kakaPoa brother
Post sent using JamiiForums mobile app
sasa mamSasa nyie wenyewe hamkunipa ushirikiano,
Huyo mwenzio nilimpigia hakupokea baadae akanitext sorry nipo kwa doctor nikamwambia basi nipe contact za Manga akajibu Manga hayupo usijisumbue kumtafuta, embu sema ndugu yangu ningefanya nini mimi? Mlaumu nduguyo
Basi sawa hamna nenohahahaa
mtindo wa kupendean macho umeanza lin huo
mimi nakupenda kwa moyo