BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Shunie,upo mrembo? Za sinza,
siku hizi maji yanapatikana huko?
siku hizi maji yanapatikana huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nadhan ungesema amsha popo
Haya kama umekubali lete jibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115] [emoji115] kuna kaukweli
Shaka yangu ni hicho kicheko amekili ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi wewe je?aaah
mi mbona sja sema neno zaid ya kucheka tu bro
Umjuzi wa maongezi hongelanadhan ungesema amsha popo
we fuatilia convo yenu ndio utaona vyenyewe kwa nn nlichekaShaka yangu ni hicho kicheko amekili ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi wewe je?
Na mimi nimekuelewa umenicheka kwa lile swaliwe fuatilia convo yenu ndio utaona vyenyewe kwa nn nlicheka
ni ishu ilichekesha[emoji23]
hahahaNa mimi nimekuelewa umenicheka kwa lile swali
Ila nnahakika ufundi hauna ukubwa huezi jua tungepewa aina ya ufundi unaoleta hayo mautam ukaongeza kitu
Usinicheke tena napenda kujua zaidi
Aliongea point ila haikua mahala pake usipo tafakali lazima umcheke alie ambiwa ha ha haaahahaha
kwa kweli nslidhindwa kujizuia ila ilibdi tu nicheke
Aiseee.....