JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

we fuatilia convo yenu ndio utaona vyenyewe kwa nn nlicheka
ni ishu ilichekesha[emoji23]
Na mimi nimekuelewa umenicheka kwa lile swali
Ila nnahakika ufundi hauna ukubwa huezi jua tungepewa aina ya ufundi unaoleta hayo mautam ukaongeza kitu

Usinicheke tena napenda kujua zaidi
 
Back
Top Bottom