JamiiForums Usiku wa manane

we fuatilia convo yenu ndio utaona vyenyewe kwa nn nlicheka
ni ishu ilichekesha[emoji23]
Na mimi nimekuelewa umenicheka kwa lile swali
Ila nnahakika ufundi hauna ukubwa huezi jua tungepewa aina ya ufundi unaoleta hayo mautam ukaongeza kitu

Usinicheke tena napenda kujua zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…