bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,029
- 5,796
Aya mkuu nambie pande hizo ni shwari ?Jambo iko afande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya mkuu nambie pande hizo ni shwari ?Jambo iko afande
Jamangood nyt guys nipooo
sema leo lindo limekaba kdogo
Jana na leoMapopo
Wapi hapoNipooo
Hapa, nalinda zangu jfWapi hapo
We malaika unalinda nini yaani mtoto mzuri kama wewe watakuiba eti.Hapa, nalinda zangu jf
Ondoa shaka mkuu, hii ndiyo mida yangu Hamna mwenye ubavu wa kuingia kwenye kambi na kuiba na akatoka salamaWe malaika unalinda nini yaani mtoto mzuri kama wewe watakuiba eti.
Uni..... Malizia mkuuDark Angel njoo nkupe....
Muwa uliozamisha meliUni..... Malizia mkuu
jambo jambo afadhali kukuche tukabidhi lindo si kwa ubaridi huuNawasalimu wakuu kwa sauti ya Jambo afande ??
Hahaha haya njoo huku nilipoMuwa uliozamisha meli
Wapiii huko tuyajenge[emoji16][emoji16][emoji16]Hahaha haya njoo huku nilipo
Dark Angel njoo nkupe....
Uni..... Malizia mkuu
Kumeshakucha mjueMuwa uliozamisha meli
We mtu ukuje uku tukeshe leowe sa iv unatakiwa uwe umelala
Utalala utaniacha. Labda leo unipe maneno matamu manake umeacha kunibana hadi nataka kuibiwa wewe upo tu unachekelea. Sitaki kuibwa. Nichukue mZima mzimaWe mtu ukuje uku tukeshe leo