Huwezi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ina maana wote humu ndani chali?
Kweli naweza vua nguo nikawanga hapa na nusionekane.
Siwezi? Nipo nawatilia malimbwata huku
polee sie wengine ni mabundi sugu.Usingizi haujawahi kuwaacha watu salamaaa
Teeeeh i thought nko mwenyew haya tuendelee na mkesha bundi mwenzangupolee sie wengine ni mabundi sugu.
Ukienda kulala niambie maana nawachora kimya kimyaTeeeeh i thought nko mwenyew haya tuendelee na mkesha bundi mwenzangu
Njoo tukesheMkesha mwema wandugu.
Aisee na penseli auUkienda kulala niambie maana nawachora kimya kimya
Ndo nimewasili rasmi na vitendea kazi kabisaa.Njoo tukeshe
Njoo tukeshe
Karibu ila kama kesho unaenda kazn usituige majobless kama mm apaNdo nimewasili rasmi na vitendea kazi kabisaa.