JamiiForums Usiku wa manane

Ni kweli mkuu hio ni hatari zaidi.Afu nimeona hio signature ya sent from.... hatari sana hio
 
Daah umeielezea vzr sana maana naona watu wengi inawapa shida wao wenyewe kuelewa hali gani inawasumbua kati ya hali hizo 2.
 
Nani yuko macho walau tupige stori mbili tatu

Jamii Forums mobile app
 
Hodiii

sending using jamiiforum makinikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…