JamiiForums Usiku wa manane

Kwa wazee wa kukesha adi mida frani ya wanga tukutane hapa ili tupige story mbili tatu
 
[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42]
 
Ulilala mchana?
Sanaaaa.
Yani nimelala hadi mbavu zikauma.

Nikatoka hapo nikaenda kupata msosi mmoja wa kijapani yaaaki.

Hatari sana.
Yani ww usingekuwa unakaa kijijini ningekunenepesha sana.
 
Sanaaaa.
Yani nimelala hadi mbavu zikauma.

Nikatoka hapo nikaenda kupata msosi mmoja wa kijapani yaaaki.

Hatari sana.
Yani ww usingekuwa unakaa kijijini ningekunenepesha sana.
Hahaahaaa[emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…