JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kwa wazee wa kukesha adi mida frani ya wanga tukutane hapa ili tupige story mbili tatu
 
[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42]
 
Ulilala mchana?
Sanaaaa.
Yani nimelala hadi mbavu zikauma.

Nikatoka hapo nikaenda kupata msosi mmoja wa kijapani yaaaki.

Hatari sana.
Yani ww usingekuwa unakaa kijijini ningekunenepesha sana.
 
Sanaaaa.
Yani nimelala hadi mbavu zikauma.

Nikatoka hapo nikaenda kupata msosi mmoja wa kijapani yaaaki.

Hatari sana.
Yani ww usingekuwa unakaa kijijini ningekunenepesha sana.
Hahaahaaa[emoji85]
 
Back
Top Bottom