JamiiForums Usiku wa manane

Hukutani na MB bali maombi ya nguvu kutoka kwa waamini!

Acha kuwanga badala yake uwe unakaa hapa kutulindia uzi wetu,vinginevyo siku si nyingi hayo mawimbi yatakudondosha uaibike bure...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahaha yani katika vitu ambavyo siviogopi ni maombi ya usiku wa manane, kwanza waombaji wengi unakuta wamesinzia na wengine wako kwenye vifua na viuno vya watu wanaomba watoto[emoji12]
 
Umemwachaje aende kuoga peke yake? Mechi ya bafuni inanoga sana ujue, usisahau kuchukua kavideo au ikishindikana sana kasauti na sie tufaudu.
 
Le family ya popoz mko wap
Ipogolo
Kichwa kichafu
Neybright
Cofta, Manga Ml huyu ndo kapoteaga humu
Popo wa kudumu alibakari
Youngblood, dingmzee
Behaviorist we zako ni kuja asubh tu kumtafuta ivuga
Spade4spade,ASA 1 sakayo naita rokooo ya mapopo
[emoji137][emoji137][emoji137]
 
Hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…