[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Manga, mbona unatumia avator yangu mkuu?Pande zipi hizo kokea vinywaji utaona poa tu
Nataka nipande jukwaani mwenyewe [emoji23][emoji23]Pande zipi hizo kokea vinywaji utaona poa tu
Yaani we acha tu, najaribu kubadilisha makazi kila dk moja.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana aiseeh, kama nakuona unavyojitandika makofi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haaa kama wameshindwa kukuburudisha waoshe mfano haoNataka nipande jukwaani mwenyewe [emoji23][emoji23]
Siku hizi unanizingua sanaDogo nakutafuta
Mimi sipo sijui wengineHumu ndani mpo kweli???
Kipenzi jiraniTupooo
Father chaliiTupooo..!!
Ahahahaaaaaa ndio kitu nilichokuwa nafikiria hapaHa ha haaa kama wameshindwa kukuburudisha waoshe mfano hao
Kwanini ulale kwa mfano
TupooooMimi sipo sijui wengine
Fanya hivyo waone hukutoa pesa yako sadaka ha haAhahahaaaaaa ndio kitu nilichokuwa nafikiria hapa
Karibu mkuuuu uzi wa leo au nachangia tu! mi nimenyimwa na usingizi umekata apa