JamiiForums Usiku wa manane

Nina rafiki yangu ana mke mzuri kama malaika, yeah nakiri ni mzuri sana....lakini ana roho mbaya kuliko shetani. Hiyo roho aliionesha baada ya ndoa! Ndoa yenyewe ya kikristo.

Hakuna ujanja katika hilo,mwombe Mungu akuongoze kumpata mbora wako.
 
Nina rafiki yangu ana mke mzuri kama malaika, yeah nakiri ni mzuri sana....lakini ana roho mbaya kuliko shetani. Hiyo roho aliionesha baada ya ndoa! Ndoa yenyewe ya kikristo.

Hakuna ujanja katika hilo,mwombe Mungu akuongoze kumpata mbora wako.
Amina nna experience na hilo ...samahani.."hivi wanawake warembo kwa muonekano there there not for marriage au.."

carnte himself
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…