Mtasubili sana mpaka achoke kujirusha ndo ashike cm sio saa hiiUna akili kama zangu, mbona hatujibu?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji87] [emoji85]
Saidia basi mkuuMtasubili sana mpaka achoke kujirusha ndo ashike cm sio saa hii
AiseehHa ha haaa inapatikana wilaya ya kinondoni tu
Usicheke mwenzio nipo serious ujue ohoooHa ha haaa
Unaendaga za wapi hii ipo mkoa wa kinondoni mkuuNaendaga mkuu ila hiyo siijui kabisa
Byeee weweeeAcha na mm nilale nitaona majibu kesho
Byeeee woteee
Ha ha haa kama unaendaga club jipange twendeUsicheke mwenzio nipo serious ujue ohooo
Mwanza mkuuNdo wapi huko?
Karibu bundiHelloooo! Nimewamiss kinoma aisee... Nipo sana tu, majukumu tu yamebana karibuni sana tena na tena.
Nampango wa kuzamia hamna card[emoji23] [emoji23]Birthday party [emoji322] ya anco zako mapacha
Nipo..Popooooooz
Mpo ama mmeshaondoka????