Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
Pole sana, bila shaka umetambua kuwa sio kila anayekesha ni mlinzidaaa wife kanikimbia yaani hii siku ya7 usingizi hauendi kabisa. nimelala imeshindikana imebidi nirudi sebuleni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana, bila shaka umetambua kuwa sio kila anayekesha ni mlinzidaaa wife kanikimbia yaani hii siku ya7 usingizi hauendi kabisa. nimelala imeshindikana imebidi nirudi sebuleni
Asanteh na Kwako piaJaman kwema humu nawasalimu tu muwe na usiku mnono... !!!!!
Tupooo karibu sanaWapenziii mupoo
-Mondray-
We mtata............basi tunga misemo yako ya kueleweka tuoineHahaha mimi wala sina tatizo na wahenga, tatizo ni misemo yao ndo siielewi[emoji40]
Kwema sana, karibuKwemaaaa
Acha kabisa ndugu yangu ni majukumu tuu yamenibana ila soon nitarudi kwenye hali yangu. Tatizo la jirani yangu michepuko itammalizaDada Mkuu heshima yako siku izi naona umekua njiwa kabisa, mapemaaa ndani[emoji12]
Alafu wewe na jirani yako Kichwa Kichafu mienendo yenu inatia shaka[emoji40] [emoji125]
Wewe hutaki kuficha Id?Wapenziii mupoo
-Mondray-
Ahsante sana mkuu,.naona tupo macho sieKwema sana, karibu
Hahahahaha uck ulikuwa haujafika bhana kakaHili swali lako gumu sana ujue, ni sawa na kuuliza "Popo ni ndege au mnyama"[emoji12] [emoji6] [emoji125]
Unaenda wapi?Jaman kwema humu nawasalimu tu muwe na usiku mnono... !!!!!
Tupo dear karibu sana, bora umekuja uniletee jirani yanguMabundi mpoo
Afadhali unisaidie kumwita huyo Kichwa Kichafu,aje kujibu mashtaka hukuUko wapi jirani yangu leo???
Kichwa Kichafu popote ulipo embu ukuje huku
Wewe hutaki kuficha Id?
Asante,leo alisema hawezi tokeza huku sijui michepuko imembanaTupo dear karibu sana, bora umekuja uniletee jirani yangu
hakika mkuu, full stress ndani hapakalikiPole sana, bila shaka umetambua kuwa sio kila anayekesha ni mlinzi
Wewe mbona unaonea hivyo? Kwako ni majukumu ila yeye mchepuko? Usikute mnachepuka wote[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]Acha kabisa ndugu yangu ni majukumu tuu yamenibana ila soon nitarudi kwenye hali yangu. Tatizo la jirani yangu michepuko itammaliza
Aje tuu kwa kweli aondoe utata nimeona hayo mabishano nikaamua kumuita sasa cjui leo kapatwa na niniAfadhali unisaidie kumwita huyo Kichwa Kichafu,aje kujibu mashtaka huku
[emoji23] [emoji23] [emoji23]We mtata............basi tunga misemo yako ya kueleweka tuoine