JamiiForums Usiku wa manane

Za jìoni jamani huku niliko ndo jua linazama ...bora hata mliokwisha lala
 
Boss wangu, Dada yetu Inna yupo?
Au Saint Ivuga alisha mvalisha pete?
Chelewa chelewa nimekuta mtoto si wangu.
Hahaa nipo rafk angu...ivuga atavalisha pete wangap sasa
 
Hata ningekusalimia usiniitikia......mbona Nleterewa Nganengo alikuwa ananichunia kila nikimsalimia?
Tafadhali usinichonganishe na shost yangu Neybright................
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hizo salamu kwa kweli sijaziona, au labda ulizituma kipitia barua?[emoji12]
Ngoja niendelee kuzisubiri[emoji40]
 
Mbona mmelala mazee? Upopo umewashinda?
 
Aaaah kumbe! Basi mwambie Nleterewa Nganengo kuwa nimekubali offer yake ya twisheni
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hakika umechagua fungu lililo jema[emoji39]
Siku nilizopotea nilikua nakuandalia welkam nyiu student[emoji6]
Manga ML weka bili ya viroba duka la mangi kwa mwaka mzima kwa kuniasist binti akaelewa somo[emoji120] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…