JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

So sad hata nikitumia zike step zangu za kulala zinagoma wacha nimalize bando may be i can sleep
Heeeh! kumbe kulala kuna stepu zake? ndo maana mi sipatagi usingizi ni kwakuwa situmii step ..............naomba unifundishe hizo steps tafadhali 😉😉😉😉
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Hakika umechagua fungu lililo jema[emoji39]
Siku nilizopotea nilikua nakuandalia welkam nyiu student[emoji6]
Manga ML weka bili ya viroba duka la mangi kwa mwaka mzima kwa kuniasist binti akaelewa somo[emoji120] [emoji125]
Huna lolote ulivyoona nimekubali tu, ukala kona mazima.......ukajua utaumbuka maana na Manga ML naye akakimbia pia kijiwe kama Kichwa Kichafu alivyokimbia kesi ya jirani yake! 😀😀😀😀 Rudini tu kijiweni, nilikuwa nawapima tu imani sikukubali kikwelikweli
 
Haya haya amkeni kumekucha...........wakulima,wafanyakazi,wafanyakazi,wanafunzi tukawajibike kuijenga Tanzania mama!
 
Huna lolote ulivyoona nimekubali tu, ukala kona mazima.......ukajua utaumbuka maana na Manga ML naye akakimbia pia kijiwe kama Kichwa Kichafu alivyokimbia kesi ya jirani yake! 😀😀😀😀 Rudini tu kijiweni, nilikuwa nawapima tu imani sikukubali kikwelikweli
Ohooh usinifanyie ivyo Bundi Thad,
Ujue nimeshaandaa vifaa vyote vya kufundishia[emoji40]
Sad enough umenifanya nichonge penseli yangu mpya niliyokua sitarajii kuichonga kwa sasa[emoji39]
Alafu mimi kukimbia Uzi ni sawa na fisi kuacha kula mizoga[emoji12]
 
Back
Top Bottom