Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Mkuu kwa haya maelezo itabidi niuze mazao yote nije TangaEnjoy Tanga, baada ya mwezi mmoja huenda nikawepo tena. mji una mabibi huu
kwanini kiongoziNatoa kampan tuu, am hme all alone afu nashindwa kulala.
Wtsup ppl?
utarudi na viatu tu mkuu, bora endelea kulimaMkuu kwa haya maelezo itabidi niuze mazao yote nije Tanga
Usiku mwema mydearSiku kama ya leo tar.10/10/1999 Nyerere alikuwa amebakiza siku nne za kuwa hai duniani,sijui ndugu zangu mlikuwa wapi enzi hizo! Jina la Nleterewa Nganengo limenikumbusha mahali nilipokuwa siku hiyo. Laleni unono bandugu,nami nalala salama!
Kwenye maandiko niko vizuri..........au unataka nikusomee ule mstari unaosema 'Mpe maskini kileo asahau shida zake'Ndo maana yake, tatizo lako unajua majina karibu yote ya vinjwaji kuliko hata maandiko matakatifu[emoji40] (sijanywa dawa)
Bora nimeamka kabla shutuma hazijapoaEwaaah umeona wanavyoteteana, jje's hapa kuna kamchezo anatuchezea[emoji39]
Rudi hapa utuelezee ulipokua, kwanza na sisi tutiririke, umenifanya nipate huzuni ya ghafla.[emoji24]Siku kama ya leo tar.10/10/1999 Nyerere alikuwa amebakiza siku nne za kuwa hai duniani,sijui ndugu zangu mlikuwa wapi enzi hizo! Jina la Nleterewa Nganengo limenikumbusha mahali nilipokuwa siku hiyo. Laleni unono bandugu,nami nalala salama!
Alafu unakimbia wakati jje's kaja[emoji6]Siku kama ya leo tar.10/10/1999 Nyerere alikuwa amebakiza siku nne za kuwa hai duniani,sijui ndugu zangu mlikuwa wapi enzi hizo! Jina la Nleterewa Nganengo limenikumbusha mahali nilipokuwa siku hiyo. Laleni unono bandugu,nami nalala salama!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]utarudi na viatu tu mkuu, bora endelea kulima
Hahahah! Nasikia siku hizi Tanga sio ile ya 'waja leo warudi leo' bali ni 'waja leo kurudi majaaliwa' bila shaka Nganengo akifika huko hatapata majaaliwa ya kurudi nyumbani ππutarudi na viatu tu mkuu, bora endelea kulima
Nadhan mazoea tu mkuu. Sikuzoea kulala peke angu.kwanini kiongozi
Mhoji,utanipa mrejesho kesho........wacha nimkumbatie mzee wangu asijenilima talaka bure ππππAlafu unakimbia wakati jje's kaja[emoji6]
Nadhan mazoea tu mkuu. Sikuzoea kulala peke angu.
Hapana mshiki, mchana kuna sehemu umeonekana na jirani take Neybright, sasa wanauliza yu wapi, mbona haonekani?Bora nimeamka kabla shutuma hazijapoa
Kaka una utani na dada eeeeh
Asivyopenda kesi huyo, basi tutamsahau humuHakika sitasema lolote, mchana nimemuuliza ametekwa na nani akajibu atakuja kujibu mwenyewe huku.
Bado namsubiri ajibu
Jaman tulipigiana cm tu hatukukaa, ndo nikamuuliza akanijibu atakuja kujibu mwenyewe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]Hapana mshiki, mchana kuna sehemu umeonekana na jirani take Neybright, sasa wanauliza yu wapi, mbona haonekani?