[emoji1] [emoji1] [emoji1] pole itabidi nikutafute unifundishe hii mambo ya kubet....inaelekea inawalipa sana eeeh!Hahaha wacha kabisa haya mambo ya kubet kwa kutumia "wake zetu" kidogo yanitoe roho[emoji40]
Shukrani zimwendee mhenga wa Ug.
Ohooo tena???Eeeh! Haya majirani...ngoja niwapishe mng'atane masikio
Sitaki ushahidi,ila siku my baby wako atakapokuja nitampa hii taarifa,kwa hiyo mjiandae kujibu
Nilikumiss jirani wa dunia nzima (kasema Nleterewa Nganengo )Ahahahaaaaaa mbona nipo dear
[emoji120] [emoji120] [emoji8] [emoji8][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji8]
Hata usiogope mwaya,maana nachoche kuni mbichi hapaOhooh umeanza uchochezi[emoji39]
Hahaha sisi huku kijijini hatutumii kibetio cha pesa[emoji40][emoji1] [emoji1] [emoji1] pole itabidi nikutafute unifundishe hii mambo ya kubet....inaelekea inawalipa sana eeeh!
Kwa jirani yangu kichwa kichafuAfadhali umejileta....umemwambie Nleterewa Nganengo kuwa uliniona wapi vile...?[emoji108] [emoji108] [emoji108]
Miafrika ndivyo mlivyo....kila siku mnatwambia "msema kweli ni mpenzi wa Mungu" wakati mwatuongopea kila kukicha....[emoji57] [emoji57]Asikutishe huyu, endelea kusema kweli kama maandiko yanavyosema na kweli itakuweka huru[emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilikumiss jirani wa dunia nzima (kasema Nleterewa Nganengo )
SawaAsikutishe huyu, endelea kusema kweli kama maandiko yanavyosema na kweli itakuweka huru[emoji39]
Hahaha na kweli, alafu bahati mbaya zimenyeshewa na mvua[emoji12]Hata usiogope mwaya,maana nachoche kuni mbichi hapa
AhahahaaaaaaNilikumiss jirani wa dunia nzima (kasema Nleterewa Nganengo )
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji108] [emoji108] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Ohooh jirani sema yote, ulinzi wako juu yangu[emoji122]Kwa jirani yangu kichwa kichafu
Kilichonifanya niangaze macho kwa shauku kubwa ni pale mlipokuwa mnasalimiana kidhungu (mkumbato type) am sorry it's not my intention to saw you guys but hiyo style ndio ilinifanya nikawa interested [emoji4][emoji4][emoji4]
Hukuniona mimi ulinifananisha tu! Mimi nilikuwa Mirembe kwa Nleterewa Nganengo kuchukua viroba [emoji85] [emoji85]Kwa jirani yangu kichwa kichafu
Kilichonifanya niangaze macho kwa shauku kubwa ni pale mlipokuwa mnasalimiana kidhungu (mkumbato type) am sorry it's not my intention to saw you guys but hiyo style ndio ilinifanya nikawa interested [emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hukuniona mimi ulinifananisha tu! Mimi nilikuwa Mirembe kwa Nleterewa Nganengo kuchukua viroba [emoji85] [emoji85]
OkeyOhooh jirani sema yote, ulinzi wako juu yangu[emoji122]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Miafrika ndivyo mlivyo....kila siku mnatwambia "msema kweli ni mpenzi wa Mungu" wakati mwatuongopea kila kukicha....[emoji57] [emoji57]
Haya endeleeni kudanganyana
Raha ya ngoma ingia kati ucheze...karibu uwanjani bundi mwenzetu![emoji12] [emoji12]Bandugu nawasindikiza kwa pembeni pembeni