Kumuita aje hapa kujibu tuhuma hapana aiseeh siwezi naogopa kumpoteza jirani yanguJirani mtukuka, nakusalimu sana, tafadhali naomba umwambie jiraniyo aje na mwenzie waje kumaliza hiki kizaa zaa walichokianzisha[emoji40]
Alicho sema ni kweli si yeye kwakweli labda kama utaki huyo mmoja ashutumiweUnaendelea kuruka ruka tu ...kweli bisi ni bisi tu [emoji12] [emoji12]
[emoji101] [emoji101] [emoji101]Nitashukuru ukinisaidia kuniunga maana sisi ni majirani kwahiyo haina maana kunyimana [emoji85] [emoji85]
Hivi aliyeimba haka kawimbo yuko wapi siku hizi?
Yaan mpenzi wangu unamuita dogo????Ni shem wangu ila dogo hayupo nipo mimi tu
Unaona ulivyo msahaulifu, me nikafikiri saiv mnakaribia kumaliza mafunzo ya Kubet, kumbe hata kuanza bado[emoji40]Hivi wewe uliniahidi kunifundisha nini vile...[emoji12] [emoji12]
Naona unasingiziwa hafu unacheka tuHahaha mkuu tafadhali usiendelee kuchochea huu moto, hakika Niko kwenye tanuru tukuka[emoji40]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Bila shaka unamaanisha wilaya ya Moshi iliyopo mkoa wa Kilimanjaro[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nikitazama kwa makini naona kuna Moshi hapa, muda sio mrefu tutaona moto hapa[emoji39] [emoji125]
Ni shem wangu ila dogo hayupo nipo mimi tu
Niliamini utapaganda hapo ndomana nikatega sikio fulsa haichwi salamaHahahaaa hapo mwishomwisho vijana wa kizazi kipya watakuja kutusaidia...eneo lakuvutia ni hapo juu hapo, hapo kwenye kunyimana haaapo, ndipo pabaya (Mzee wa awamu ya pili) hahahaaa
Hahaha ukitaka aje wewe usimwite yeye, ita ule ubavu wake mkuu, na yeye atajitokeza, simple lyk that.[emoji125]Kumuita aje hapa kujibu tuhuma hapana aiseeh siwezi naogopa kumpoteza jirani yangu
Nimuoga sana kujieleza mbele ya hadhira.
Niliamini utapaganda hapo ndomana nikatega sikio fulsa haichwi salama
Naona mnaanza kunichoka,Anataka afundishwe, asaidiwe usingizi...sasa hata naogopa kinafatia kitu gani anataka..
Ewaah nimejaribu kumwelewesha lakini hataki kunisikia kabisa, bora useme wewe mkuu, na mimi nipone[emoji123]Alicho sema ni kweli si yeye kwakweli labda kama utaki huyo mmoja ashutumiwe
Hapana mimi niligoma mana mafunzo yangu yana aza na bakora weeee mpaka kielewekeHivi wewe uliniahidi kunifundisha nini vile...[emoji12] [emoji12]
Hicho kinacho fatia kikiwa pendwa ntawaomba muniachie mimi ha ha haaaAnataka afundishwe, asaidiwe usingizi...sasa hata naogopa kinafatia kitu gani anataka..
Chonde chonde mkuu,nje kuna popobawa [emoji12] [emoji12]Natoka nnjee ndani joto
Unaniunga mkuu ohoooooAlafu hajui wewe ni mkufunzi murua kabisa wa masuala ya kubet
Mkuu, kuna vitu unasingiziwa mpaka unaamua ucheke tu, sababu mpaka shetani mwenyewe kaninong'oneza hajawahi kuona mtu anasingiziwa kwa kasi namna hiyo[emoji40]Naona unasingiziwa hafu unacheka tu