JamiiForums Usiku wa manane

Kwa hali hii huyu jirani yetu inaonyesha wakati udongo wake unafinyangwa Mirinda nyeusi ilitumika, sio kwa kutekwa huku mkuu[emoji40] [emoji125] (wagonjwa tuna shida sana)
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
We sikuwezi, mimi nimelike kinywaji, ila siku zote ukipenda boga unatakiwa upende na ua lake[emoji40] [emoji125]
Kwa hili naona umekubaliana na wahenga [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli nimeamini "every man has a price"

Bila shaka umependa zaidi ua kuliko boga lenyewe [emoji126] [emoji126]
 
Safi....viongozi Msali kila mtu kwa imani yake humu ndani msilale kama mbuzi

Hata mbuzi mwenyewe anapiga meeehehehe mbili kabla hajalala...kuashiria anamsifu Muumba wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…