JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Lets call it a day, baadae wapendwa ndio nimetoka kucheki movie "The A team"
 
Niliwamiss kuliko kawaida...
Neybright kwanini wachonganisha mapenzi ya jje's na Kichwa Kichafu? Hakika nimefurahi kuona mlivyosimama kidete kutetea penzi lenu.

Manga ML nilikumiss japo ulikataa katakata kunifunza kubet

Nleterewa Nganeno nilimiss balimi na bombadia zako,bia za ofa zina utamu wake bwana

Maserati nilikumiss na swaga zako za kuwaita wenzio akina baba nanilu...
 
Niliwamiss kuliko kawaida...
Neybright kwanini wachonganisha mapenzi ya jje's na Kichwa Kichafu? Hakika nimefurahi kuona mlivyosimama kidete kutetea penzi lenu.

Manga ML nilikumiss japo ulikataa katakata kunifunza kubet

Nleterewa Nganeno nilimiss balimi na bombadia zako,bia za ofa zina utamu wake bwana

Maserati nilikumiss na swaga zako za kuwaita wenzio akina baba nanilu...
Bby kweli nilikumis
Kuna wakati niliona utanipiku ktk penzi langu na KK nikaomba Mungu Magu akupe ziara ya kikazi. Ombi langu lilifanikiwa ila baadae nikajua kumbe nakuhitaji sana
You were missed by me jmn, nimesumbua sana kina Manga ML na kaka yangu bila mafanikio
Pls karibu nakukaribisha kwa mikono yote na miguu kwa pamoja
 
Back
Top Bottom