[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli moyo wa mtu kichaka kumbe tulikuwa tunacheka tu huku moyoni mwako ukiniombea ziara ya kikazi ilihali wajua fika ziara zenyewe hazina malipo siku hizi.....Bby kweli nilikumis
Kuna wakati niliona utanipiku ktk penzi langu na KK nikaomba Mungu Magu akupe ziara ya kikazi. Ombi langu lilifanikiwa ila baadae nikajua kumbe nakuhitaji sana
You were missed by me jmn, nimesumbua sana kina Manga ML na kaka yangu bila mafanikio
Pls karibu nakukaribisha kwa mikono yote na miguu kwa pamoja
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] nimecheka kwa nguvu Thad pls hurumia mbavu zangu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli moyo wa mtu kichaka kumbe tulikuwa tunacheka tu huku moyoni mwako ukiniombea ziara ya kikazi ilihali wajua fika ziara zenyewe hazina malipo siku hizi.....
Asante mpenzi!
Niliwamiss mno watu wangu
Sio dhamira yangu kukuumiza mbavu mpenzi wangu,ila umenishangaza ulivyonipigia mahesabu ya ajabu...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] nimecheka kwa nguvu Thad pls hurumia mbavu zangu.
Watu wamepoa sana siku hiz ila ujio wako utawaamsha tena.
Hongera Mama,hakuna kama weweMi nipo kitandani namwangalia mtoto asiamke akalia
Nafurahi kusikia hivyo.....kwa kweli natamani sana leo nionane nao maana nimewamiss mno![emoji18] [emoji18]Tangia uondoke uzi umedorora, hawaji tena
Wangejua umetia timu kila mmoja atafumuka upande wake.
You have an impact on this uzi
Hajambo kabisa, unajua tangia utokomee bila kuaga hakuna mahudhurio mazuri, kwa siku unakuta post 10 tu wakati ukiwepo post zinaweza zidi mia 5Sio dhamira yangu kukuumiza mbavu mpenzi wangu,ila umenishangaza ulivyonipigia mahesabu ya ajabu...
Vp kwanza KK hajambo? Naona kapotea kabisa hapa tangu alivyosemelewa na jirani yake.
Ila kusema ukweli alikubembeleza mpaka nikasikia kijiwivu kwa mbali.[emoji4] [emoji4]
Watakuja kuchungulia muda si mrefuNafurahi kusikia hivyo.....kwa kweli natamani sana leo nionane nao maana nimewamiss mno![emoji18] [emoji18]
Karibu sanaHodi
Bila shaka walikuwa busy na mnada wa mia 9 itapendeza....kuanzia kesho watarudi ulingoni kama kawaidaHajambo kabisa, unajua tangia utokomee bila kuaga hakuna mahudhurio mazuri, kwa siku unakuta post 10 tu wakati ukiwepo post zinaweza zidi mia 5
Karibu mpnz tena karibu sana
Akhsante nishakaribia mkuuKaribu sana
Aisee hatimae......Niliwamiss kuliko kawaida...
Neybright kwanini wachonganisha mapenzi ya jje's na Kichwa Kichafu? Hakika nimefurahi kuona mlivyosimama kidete kutetea penzi lenu.
Manga ML nilikumiss japo ulikataa katakata kunifunza kubet
Nleterewa Nganeno nilimiss balimi na bombadia zako,bia za ofa zina utamu wake bwana
Maserati nilikumiss na swaga zako za kuwaita wenzio akina baba nanilu...
Ngoja niwasubiri,japo naona muda wazidi kuyoyoma.Watakuja kuchungulia muda si mrefu
Inawezekana pia[emoji12] [emoji12] [emoji12]Bila shaka walikuwa busy na mnada wa mia 9 itapendeza....kuanzia kesho watarudi ulingoni kama kawaida
Wow! Nafurahi kukuona best wa mimiAisee hatimae......
Mmm hapana sio uzee sema ukweliJamani mnisamehe bure tu,maana uzee umeniandama sasa siwezi tena kukesha kama enzi za ujana wangu. Labda tuanzishe uzi wa 'mchana wa manane' [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ipo mkuuAkhsante nishakaribia mkuu
Vipi amani ipo humu lakini jj's
Wameanza kujitokeza[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji38]Ngoja niwasubiri,japo naona muda wazidi kuyoyoma.
Unajua zile moment umepanga miadi na mtu halafu unafiki eneo la miadi lakini mhusika hatokei....ndivyo ninavyojisikia sasa hivi [emoji18] [emoji18]
Hapa amani tele,ukiingia hutakaa utamani kutoka.[emoji4] [emoji4]Akhsante nishakaribia mkuu
Vipi amani ipo humu lakini jj's