JamiiForums Usiku wa manane

anga la tanga wilaya handeni na korogwe linasumbua kama auko fiti aukatizi.kama same na mwanga.dah pale lazima chombo kiyumbe sana
 
anga la tanga wilaya handeni na korogwe linasumbua kama auko fiti aukatizi.kama same na mwanga.dah pale lazima chombo kiyumbe sana
Kwa kweli sijui nani amekua na kiburi namna hiyo, hapo Same radar yangu inasoma Mshana ndo yuko hapo, ukifika punguza mwendo kuna nywila za kupita hapo ntakutumia
 
Hii zamu ngumu kweli,tumewekwa midume mitupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…