Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umelala peke yako??Niliamka kupata haja ndogoo usingiz umegomaa nipo kwa bed tuu nachezea simu
Karibu sana mkuu.Hapa nami usingizi sijui umeenda wapi jamani,tuko pamoja mkuu,
[emoji23]mbona wauliza mkuuUmelala peke yako??
Nataka kujua[emoji4] niambie[emoji23]mbona wauliza mkuu
Mkuu mi ukikataga tu usingiz siubembelezi wala nini,naingia zangu mtaani muda huo huo then sa 11 narud kama ni siku ya kazini najiandaa nasepa kwa ofisi.Nautazama usingizi uko pembeni mkalii had I nautamani,daaah,nijanga KUU mh
Hahah na kwenye mbuga hapakosekani mbu'ngo mkuu.Anaglia kuna mbuga hapo mkuu...