spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,156
Wee sikia tu hiyo kitu ya moshi wa machozi ikipigwa na wale wajomba. Afu sasa uwe na android na vibaka wawe walikuona una jf. Sasa ngoma ni pale kila mtu anatimka utashangaa vibaka wanakuja kujificha kwako. Acha kabisa, bora ya kunguru muoga!![emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu wewe muoga sana