dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka atakupa jibu murua kabisa.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Haaaa unaenda kufundishwa non?/mbona hujaniambia?
Itakuwa hawajalala maana mm nimelalaHamjalala wa humu?
Kweli aisee tusije tukakukosa maana kwa jinsi vyuma vilivyokaza,kupata kengine ni shidaAfu utaionaje sasa! Maana entertainment pekee niliyobakiza hapa duniani ni kukutana na watu kama ninyi baada ya saa sita usiku. Ninahakika wakinitongoa hiki kidude na mimi naripoti kwa baba.
Penda sana weye hadi nashindwa kueleza kwa maneno bali nafanya kwa vitendo honeyWere were
Nakuachia lindo captain
Nakuamin bbyPenda sana weye hadi nashindwa kueleza kwa maneno bali nafanya kwa vitendo honey
Ndugu tembele mimi nipo zangu mbali na dunia kwenye space orbitWe chainizi, hebu tueleze kule fiesta
Sawa kamanda!! Ngoja ni chukue [emoji359] [emoji360]Nakuachia lindo captain
Sio kweli, wote tumelala ila hatujasinzia tu....Itakuwa hawajalala maana mm nimelala
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Were were
Usiku mwema luvNakuamin bby
Wataongea but tupo tu
Haha haina tatizo mkuu... Nitakuwepo pale kwenye nyama choma sijui mbuzi choma sokoni/ getini. Karibu sana mkuuAsante sana. Wacha kesho nikutafute pengine naweza malizia weekend yangu vizuri[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Ndo kwanza kumekucha!Hamjalala wa humu?
Bado. Unatakaje mrembo.?Hamjalala wa humu?
Kama uko huko umebugi. Si hapa ni usiku wa manane na ndo mida yetu huko uliko inaweza hata kuwa saa sita mchana. We siyo wa hapa uende nyuzi zingine.Ndugu tembele mimi nipo zangu mbali na dunia kwenye space orbit
Shukrani sana! Nikute ushachomesha upande mzima tu wa mbuzi,maana mimi silagi sana [emoji39] [emoji39]Haha haina tatizo mkuu... Nitakuwepo pale kwenye nyama choma sijui mbuzi choma sokoni/ getini. Karibu sana mkuu