fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Karibu sana wanguHuko kwa earth ?dakika kadhaa natarajia kutua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana wanguHuko kwa earth ?dakika kadhaa natarajia kutua
Afu haya masuala ya nyie viumbe vya ajabu ajabu kutoka huko anga za juu kutuharibia usiku wetu mkome bhana. Si hatuna mabawa ya kuja huko tuachieni mambo zetu.Ndio life bwana tembele
Mbona umepanic au ndio njia yako ya kulala?Ninavyojua chainisi na tembele ni nduguYaani tembele ni jina la mkweo mwenye jicho moja Huko anga za juu au? Maana huku ni Glossary kwa kweli. Hebu funguka zaidi.
Ninakuona ujueAfu haya masuala ya nyie viumbe vya ajabu ajabu kutoka huko anga za juu kutuharibia usiku wetu mkome bhana. Si hatuna mabawa ya kuja huko tuachieni mambo zetu.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] ulijua mi mwanaume? [emoji15] [emoji15] [emoji15]You're a woman.?! Never thought of it before. My mind is struggling now..!!
Why should I lie.? Kuanzia mwanzo wa mada yako mpaka sasa, ila usijari nishakujua[emoji15] [emoji15] [emoji15] ulijua mi mwanaume? [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hayo ndo maneno! [emoji39] [emoji39] [emoji39]Basi nitakununulia mbuzi mzima ili haja zako zoote ziishe...wasemaje?
Ama kweli huko kuna mambo! Hivi ni anga gani hizo za juu ili na mimi nije nipate hiyo misamiati. Isije ikawa anga za giza. Yaani mi nikitaka kulala napanic! Asalaleh!!!! Mi nilikuita Chinese kwa sababu ya picha ya avator yako na siyo mboga za muhimbili pale bonde la msimbazi.Mbona umepanic au ndio njia yako ya kulala?Ninavyojua chainisi na tembele ni ndugu
Wewe tu hata ukitaka chochote I'll be there to provide for youHayo ndo maneno! [emoji39] [emoji39] [emoji39]
usisahau na kreti mbili za balimi mkuu,maana nyama bila kishushio haishuki ati
Nenda Badoo[emoji23] [emoji23]I wish I could have somebody to spend the night together hapa nilipo lol..... Arusha dakika 40 from where I am right
Inabidi nimtafute Neybright anifunze haiba ya kike maana mwishowe nitapishana na bahati hivi hivi..[emoji12] [emoji12] [emoji12]Why should I lie.? Kuanzia mwanzo wa mada yako mpaka sasa, ila usijari nishakujua
Ndo unataka kulia eti?Basi yaishe nikifika on earth ntakutembelea unione mimi ni mwafrika mweusi tiiiAma kweli huko kuna mambo! Hivi ni anga gani hizo za juu ili na mimi nije nipate hiyo misamiati. Isije ikawa anga za giza. Yaani mi nikitaka kulala napanic! Asalaleh!!!! Mi nilikuita Chinese kwa sababu ya picha ya avator yako na siyo mboga za muhimbili pale bonde la msimbazi.
Hivi kule huduma ipogo 24 hrs eeeh?Nenda Badoo[emoji23] [emoji23]
Kule anytime!...wapo mpka mlangoni wewe tu.Hivi kule huduma ipogo 24 hrs eeeh?
I love you bbyUsiku mwema luv
Asante sana,wacha nianze kujiandaa saa hizi nisije nikachelewa huu muadiWewe tu hata ukitaka chochote I'll be there to provide for you
Aiseee!I love you bby
Mi sitoi machozi hata ya mamba ni rahisi kuyaona, ni bahati mbaya tu we siyo wa pande hizi kwa hiyo huwezi elewa. Siku ukija utagundua kuwa tunapishana siyo masaa pekee yake, lakini hadi siku.Ndo unataka kulia eti?Basi yaishe nikifika on earth ntakutembelea unione mimi ni mwafrika mweusi tiii