Zuleykha
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 1,247
- 1,815
Dawa ? hapana vipi kwani wewe ndo unachimba?Ndo kwanza kumekucha!
Vip wewe ndo umeamka kuchimba dawa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ? hapana vipi kwani wewe ndo unachimba?Ndo kwanza kumekucha!
Vip wewe ndo umeamka kuchimba dawa nini?
Kama ndio hivyo basi mbavu au mguu tu unakutosha hahaShukrani sana! Nikute ushachomesha upande mzima tu wa mbuzi,maana mimi silagi sana [emoji39] [emoji39]
Na huenda huko uliko ni Jumanne next week ya hapa. Na kwa taarifa yako siku hiyo hapa kwetu presidenti ya Kenya (sijui huko kama mna hiyo nchi) anaapishwa na Greda letu litamshuhudia.Ndugu tembele mimi nipo zangu mbali na dunia kwenye space orbit
Ndio maana utfika sasa hiviI wish I could have somebody to spend the night together hapa nilipo lol..... Arusha dakika 40 from where I am right
Nawe pia bby, am beaide youUsiku mwema luv
Ningekuwa mwanaume ningehakikisha nakutia kwenye himaya yangu maana nimependa unavyolaghaika kirahisi ....Nakuamin bby
Wataongea but tupo tu
Acha utani did you mean?Na huenda huko uliko ni Jumanne next week ya hapa. Na kwa taarifa yako siku hiyo hapa kwetu presidenti ya Kenya (sijui huko kama mna hiyo nchi) anaapishwa na Greda letu litamshuhudia.
Wasiwasi wako nini.? I have got a private jetni
Ndio maana utfika sasa hivi
Heheeee! Kama nakuona vile. Yaani ni kama UFO fulani unayetisha watoto vileeeeeee!Ndugu tembele mimi nipo zangu mbali na dunia kwenye space orbit
Mguu hautatosha mkuu,fanya miguu miwili ya nyuma.....hapo ndo nitaweza kupoza kidogo njaa yanguKama ndio hivyo basi mbavu au mguu tu unakutosha haha
Ahaa basi sawaWasiwasi wako nini.? I have got a private jet
HahahahhahahahNingekuwa mwanaume ningehakikisha nakutia kwenye himaya yangu maana nimependa unavyolaghaika kirahisi ....
Ndio life bwana tembeleHeheeee! Kama nakuona vile. Yaani ni kama UFO fulani unayetisha watoto vileeeeeee!
You're a woman.?! Never thought of it before. My mind is struggling now..!!Ningekuwa mwanaume ningehakikisha nakutia kwenye himaya yangu maana nimependa unavyolaghaika kirahisi ....
Basi nitakununulia mbuzi mzima ili haja zako zoote ziishe...wasemaje?Mguu hautatosha mkuu,fanya miguu miwili ya nyuma.....hapo ndo nitaweza kupoza kidogo njaa yangu
Nikutumie uje..?Ahaa basi sawa
Yaani tembele ni jina la mkweo mwenye jicho moja Huko anga za juu au? Maana huku ni Glossary kwa kweli. Hebu funguka zaidi.Ndio life bwana tembele
Huko kwa earth ?dakika kadhaa natarajia kutuaNikutumie uje..?
A friendship starts from insignificant point of all. What matters is an intensive feeling of caring for each other.Ahaa basi sawa