JamiiForums Usiku wa manane

Ndo maana nilikuwa sikuoni maana mimi nimekazana kutafuta sura ya mhenga mwenzangu....kumbe wewe ndo haka kavulana kalikovaa miwani hapa kibarazani? [emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Lol!!
Weka mbali na watoto
 
Kumbe kuna watoto bado hawajalala muda huu?
Ebu waambie wakakojoe walale,wasichelewe shule baadae [emoji12] [emoji12]
Nishamtonya ila naona kama wewe ndo unamdanganya akusubiri, kwan mnaenda wapi mida hii?
 
Kumbe kuna watoto bado hawajalala muda huu?
Ebu waambie wakakojoe walale,wasichelewe shule baadae [emoji12] [emoji12]
Umesahau lile kopo ulilolificha uvunguni...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Umesahau lile kopo ulilolificha uvunguni...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kama unaogopa kutoka nje basi kojolea hilo hilo kopo,ila ukumbuke kumwaga na kulisafisha kabla ya kwenda shule, sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…