Jamani wewe. Wengine tutakimbia vitanda usifanye hivyoView attachment 538854 Mdogo wake huyu
Hua kuna bomba flani ndogo ndio zinatumika.Hehehehehehe.
Nyuma?? Mimi ukiwa unafanya hivyo take pic nione
Fumba macho ulale sasaJamani wewe. Wengine tutakimbia vitanda usifanye hivyo
YeuwiiHahaaaaaaaaaa ww acha utani, hiyo mbona kawaida sana kwetu huku hasa kwa watoto
Hua kuna bomba flani ndogo ndio zinatumika.
Hahahaha halafu kuku akiwa na watoto anakuw mwepesi hata akichinjwa si mtamu.Sio kicheche mkuu, kunakuku amejifungua, sasa alivyochizi alikanyaga kifaranga kikawakinalia kwamudakidogo.
Nikashtuka nikatoka kwenda kutatua tazito, ameniuzisana angekuwa hana vitoto vichanga ningeacha maagizo kesho asubui kwamba jioni nikirudi nikute mezani.
Ameniaribia usingizi kijinga.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Ok basi!Jamani wewe. Wengine tutakimbia vitanda usifanye hivyo
Sikujua! Asante kwa darasaHahahaha halafu kuku akiwa na watoto anakuw mwepesi hata akichinjwa si mtamu.
Mbali na kuku unafuga mifugo gani tena mkuu
HahahahaFumba macho ulale sasa
Sasa ulipata usingizi kweli? Mbona unatishaKagua kwenye profile yangu utauona,upo mwanzo mwanzo
Hamna zaidi ya kuku, nilikuwa na paka akazingua sikumoja nikamtiakwenye kiloba wakati naenda Shamba nikamtupa katikati ya vichaka huko porini sehemu ambapo hakuna nyumba hata moja sijui anaishije huko saizi.Hahahaha halafu kuku akiwa na watoto anakuw mwepesi hata akichinjwa si mtamu.
Mbali na kuku unafuga mifugo gani tena mkuu
Sina usingizi!!!Fumba macho ulale sasa
Sasa ulipata usingizi kweli? Mbona unatisha
Jamani alianza udokozi? Au kujisaidia ndani?Hamna zaidi ya kuku, nilikuwa na paka akazingua sikumoja nikamtiakwenye kiloba wakati naenda Shamba nikamtupa katikati ya vichaka huko porini sehemu ambapo hakuna nyumba hata moja sijui anaishije huko saizi.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app