JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hahahahaha eti nimefichwa LoL! Nimo humu 24/7 kupigania chama langu na nchi yangu dhidi ya hawa wahuni. Nafurahi kusikia umzima Mwenyezi Mungu ashukuriwe sana.[emoji1431][emoji1417]
Amen

Mie kupambana kwa akili zangu nimeshindwa, sa hii napambana kwa maombi. Kiukweli tumefika pabaya.... Nafurahi kukuona kwa ukaribu
 
Hilo naelewa sana la kugive up haya mapambano dhidi ya hawa wahuni wazo ambalo hata mimi lilinipitia kichwani lakini nikalikataa. Mie pia nimefurahi kukuona. Eti umeniona kwa ukaribu uso kwa uso pua kwa pua 🙂🙂

Amen

Mie kupambana kwa akili zangu nimeshindwa, sa hii napambana kwa maombi. Kiukweli tumefika pabaya.... Nafurahi kukuona kwa ukaribu
 
Hilo naelewa sana la kugive up haya mapambano dhidi ya hawa wahuni wazo ambalo hata mimi lilinipitia kichwani lakini nikalikataa. Mie pia nimefurahi kukuona. Eti umeniona kwa ukaribu uso kwa uso pua kwa pua 🙂🙂
Sijagive up ujue, mapambano ya kimya na sala naona yananifaa mie, bora wajione wako na watu kimwili kiakili kila mtu anajijua mwenyewe....

Hongera kwa kupambana mwaya, juhudi zako naziiona.

Tumeonana uso kwa macho jamani, sii kwa ukaribu huu
 
Usigive up ili hawa wahuni wajue kwamba uhuni wao Watanzania wengi hatuukubali. Ukaribu wa hivi bomba eh! 😡

Sijagive up ujue, mapambano ya kimya na sala naona yananifaa mie, bora wajione wako na watu kimwili kiakili kila mtu anajijua mwenyewe....

Hongera kwa kupambana mwaya, juhudi zako naziiona.

Tumeonana kwa macho jamani, sii kwa ukaribu huu
 
Shem nipo aisee... Nimefurahi kusikia unanikumbuka
Nisipokukumbuka wewe shemeji yangu nitamkumbuka nani?
(zaidi nilimiss lile pochi lenye karatasi nyekundu ulilonioesha siku ile [emoji39] [emoji39] [emoji39])

Vp lakini mbona umekuja peke yako, Neybright na jirani yake Kichwa Kichafu umewaacha wapi?
 
Back
Top Bottom