Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
0541Hrs.06:00 i mean no malice to nobody
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0541Hrs.06:00 i mean no malice to nobody
Huyu afande yupo lindoni kwa makosa maalumu taachiwa mpaka pale tutakapo jiridhisha na nidhamu yake. AhsanteAliyekaribu na huyu kijana amfunge kamba tafadhali,
Anapoelekea ataingia barabarani bila nguo akate viuno,kuachwa na umpendaye kubaya sana.
😅
Ahsante kwa kuliona hilo,Huyu afande yupo lindoni kwa makosa maalumu taachiwa mpaka pale tutakapo jiridhisha na nidhamu yake. Ahsante
Tutalizingatia hilo mkuu.Ahsante kwa kuliona hilo,
Hayuko sawa kabisa kabisa tangu aachwe na kupewa cheo cha ng'ombe kwenye mapenzi,akili yake inazidi kudhoofu.
Aangaliwe kwa ukaribu.
🤣🤣😊Sijawai, sipendi kulala nadhani yakitokea mashindano nitashinda.
😂😂Kwan kaachwa mbona hakuniamvia nimpe mbinuAliyekaribu na huyu kijana amfunge kamba tafadhali,
Anapoelekea ataingia barabarani bila nguo akate viuno,kuachwa na umpendaye kubaya sana.
😅
Kaachwa na maneno ya kashfa juu,nilimuonya hakusikia...huoni siku hizi hata nyuzi za mahaba hafungui,comments zake za maneno machafu kwa watu? Yaan mkorofi mkorofi.😂😂Kwan kaachwa mbona hakuniamvia nimpe mbinu
Kiwanda cha kuzalisha bodi za MDFControl room iyo mkuuu ?! Una simamia nini hapo,kiwanda gani hicho
Upeane connection Mkuu kama ipo.Kiwanda cha kuzalisha bodi za MDF
Bro hivi wewe wa kuni kandia Leo hii, yaani una u da fake stories ili u trend ehh🤔.Kaachwa na maneno ya kashfa juu,nilimuonya hakusikia...huoni siku hizi hata nyuzi za mahaba hafungui,comments zake za maneno machafu kwa watu? Yaan mkorofi mkorofi.
Hapo mbinu zitagonga mwamba kwa huyo bwana mdogo, cha kufanya tukamuombee msamaha akili yake irudi kwenye hali ya kawaida maana atakonda hadi moyo.
🤣
Sija achwa bhana , ndugu yangu huyo ana jipa moyo tu.😂😂Kwan kaachwa mbona hakuniamvia nimpe mbinu
Haya lete Hilo hotpot la wali bibie🤓, uje kwa mwendo ule ule wa kulegea🤣😀😀😀Futar saa 7 labda daku kitu Cha mpunga 😂😂
Wee kenge maji una ni chafua Sana, kalale huko zuzu mkubwa🤓🤣Ahsante kwa kuliona hilo,
Hayuko sawa kabisa kabisa tangu aachwe na kupewa cheo cha ng'ombe kwenye mapenzi,akili yake inazidi kudhoofu.
Aangaliwe kwa ukaribu.
We mwehu kweli, mi niachwe na nani??, kwa ujeuri upi walio nao🤓🤣.Aliyekaribu na huyu kijana amfunge kamba tafadhali,
Anapoelekea ataingia barabarani bila nguo akate viuno,kuachwa na umpendaye kubaya sana.
😅
Unyang'anywe kifaa unachotumia JF maana huchelewi kufungua ID ya kike na kujiliwaza,upweke mbaya sana.We mwehu kweli, mi niachwe na nani??, kwa ujeuri upi walio nao🤓🤣.
Bro siku fichi labda Mimi ndo nimu ache Mtu, am very competitive Kaka.
I'D ya yule binti nikumbushe herufi 2 za mwanzo.Wee kenge maji una ni chafua Sana, kalale huko zuzu mkubwa🤓🤣