Kua mpole mkuu sometimes tunabishana na watoto wetu, wazazi wetu. Humu kama ilivyo katika jamii ya nje tunatofautiana uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo. Msamehe yaisheHe talks a lot of shit, ili kupata attention.
Ila I swear siku akisema face to face, nampoteza kudadadeki
Ni mambo ya kawaida vijana wanajaribu kuwekana sawa mkuuKimetokea nini tena ?
Switihatii, em njoo kulee nikuambie kituu.Uwe unakuja usiku wa manane sweetheart
Kaka hivi mi na wewe si watu wa karibu Humu, siku uni ambie ni walk my own way.Kua mpole mkuu sometimes tunabishana na watoto wetu, wazazi wetu. Humu kama ilivyo katika jamii ya nje tunatofautiana uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo. Msamehe yaishe
Atakua kijana wa 2000+ skip himKaka hivi mi na wewe si watu wa karibu Humu, siku uni ambie ni walk my own way.
Halafu nianze kuongea ujinga, na kuaminisha upuuzi juu yako.
Uta fikiri Nini juu ya mtu ka huyo, akati una jua kabisa we aren't on the same league.
Safi km wanawekana sawa..muda wa lindo huuNi mambo ya kawaida vijana wanajaribu kuwekana sawa mkuu
Muda wa lindo umekaribia walinzi waje Amara kuchukua silahaSafi km wanawekana sawa..muda wa lindo huu
Umependeza sana aiseee...sifa kwa msukaji.Aliyenisuka sijui hela hakuridhika nayoπͺπͺ
Umependeza mkuuAliyenisuka sijui hela hakuridhika nayoπͺπͺ
Hakikisha wanasajiri wote walinzi wa zamu..tunaanzia ununioMuda wa lindo umekaribia walinzi waje Amara kuchukua silaha
πππβοΈ OyooooUmependeza sana aiseee...sifa kwa msukaji.
Mwee,asante sanaaaaaππππUmependeza mkuu
Wakubwa wanafaidi...ngoja tuwalindie wakubwaπππβοΈ Oyoooo
Wewe ni mdogo kwani?πWakubwa wanafaidi...ngoja tuwalindie wakubwa
Ndio AfandeHakikisha wanasajiri wote walinzi wa zamu..tunaanzia ununio
Hahahahaha...mimi muzeeWewe ni mdogo kwani?π
Sawa Afande..tuanze kaziNdio Afande
Tutatumbukiza na kidoleπ₯΄ oyooooHahahahaha...mimi muzee