To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Easy easy my love! Huyo nadhani yupo kama mimi kila mtu ni sweet hakuna kitu serious between us😍 plzzits over[emoji35] btwn us
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Easy easy my love! Huyo nadhani yupo kama mimi kila mtu ni sweet hakuna kitu serious between us😍 plzzits over[emoji35] btwn us
🤣🤣🤣 kipenz bhana...am so sorrysitaki kukuamin labda yeye ndo anihakikishie
🤣🤣🤣🤣 mbavu zanguu🙌🏿Huyo ni wifi ako yaani dadaangu upande wa baba mkubwa
Easy easy my love! Huyo nadhani yupo kama mimi kila mtu ni sweet hakuna kitu serious between us[emoji7] plzz
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbavu zanguu[emoji1544]
🤣🤣🤣🤣 ila nyie watu mmekutana wote ni fire....hakika mtazeeka pamoja😊hapan nimeona unavyo insist akuweke upande wake
Ndo maana nakupenda haya muda wa kulala nitakupa[emoji3059][emoji16]
🤣🤣🤣😍😍😍😍 yaan nimecheka conversations yenu🤗woah thank yuu sisy love [emoji8]atleast nawez kukaa kwa amani maan moyo ulikua unadunda puuh puuh
🤣vumilia kipenzhahhaha umeona alivyokua ananipanga uongo[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila nyie watu mmekutana wote ni fire....hakika mtazeeka pamoja[emoji4]
Love you more😚oukyy cant wait honeyy[emoji8][emoji8] u knw i laviyuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] yaan nimecheka conversations yenu[emoji847]
Yes my love...all the best....sema huyo mpenzio ukiondoka kidogo tu anampa jirani mpaka majirani tunaanza kumpea yote 😉[emoji23][emoji23][emoji23] amina da kidoti Mungu atulindie penzi letu[emoji847]
Yes dear✍🏽hahahahha tupo kwa ajili ya kufurahishan jamn[emoji38][emoji38], yan hapa ni NO STRESS dear
Kweli Mkuu
Kama una nafasi Jenga nyumba za Kupangisha za kutosha tu
Ukifika Uzeeni hutahitaji kuwasumbua watoto wako wakutumie hela ya Matumizi.
Utajikuta unapata meseji Kila Mwezi za wapangaji kukutumia Kodi zako tu
Wakati huo utakuwa unacheza golf na Wazee wenzako viwanja vya Gymkhana huku unakula totozi moja ya viwango kutoka hapo IFM [emoji12]
Tafadhali usiizingatie hiyo Aya ya mwisho nimeandika kuchagiza tu [emoji12]
Love you more[emoji9]
Yes my love...all the best....sema huyo mpenzio ukiondoka kidogo tu anampa jirani mpaka majirani tunaanza kumpea yote [emoji6]
Swalama shekhe wanguKwema mkuu Habari yako
Funga miguu yake kazini atakuwa anakwenda mshahara ukitokagodness[emoji24] hii ndo kitu sitaki sijui nifanye nin atulie na mmi, b's najitahid sana kumpatia kila kitu anacho kihitaji kwa mda sahihi lakin wapi!!, sijui nafeli wapi dear[emoji31][emoji31]