JamiiForums Usiku wa manane

Ni kweli mkubwa, maana ukisha fika pale juu, utaanza kuwaza jinsi ya kuendelea kuji kuza.

Bado washindani wa kibiashara, hapa Kuna wema na Wabaya, hapa ndo janga linapo anzia.
Maana unaeza geuka ibilisi mdogo 🤓😂.

bado Kuna wale wazee wa kunusa mapato yako, lazima uwapoze ili ufukie baadhi ya mambo.

All In all, mi nitaona huko huko🤓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…